Lengo la jambo hili ni kumrudishia Mungu sifa na utukufu kwa baraka
anazotupa kila siku.
Pia kuwapa moyo waliokata tamaa. Unaweza kumsaidia mtu yoyote
kwa ushuhuda wako. Kama watoto wa Mungu tunapaswa kusaidiana kwa hali yoyote,
na moja wapo ya njia ya kusaidiana ni kupeana moyo.
Inawezekana bado una matatizo mengi makubwa ambayo
hayajajibiwa, lakini inapaswa kushukuru kwa kila jambo, na hata yale
tunayoyaona ni madogo.
Jambo hilo unaloliona ni dogo Mungu anatengeneza njia kupitia
jambo hilo na utaona mafanikio ukiwa mwaminifu.
Njia za kututumia ushuhuda wako ni:
Email: biblestudytanzania@gmail.com
Facebook
page yetu: Habari Njema Kwetu.
Tutalinda privacy
yako. Hatutaweka jina lako hadharani, au labda upende mwenyewe.
Karibuni sana. Mwisho wa kutoa shuhuda itakua Jumapili Tar 17
September.
Mungu awabariki.
No comments:
Post a Comment